Tanzania Mbele – Sherehe Za Kuapishwa Rais Wa Tanzania Wa Awamu Ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli

magufuli sworn in

Rais wa awamu ya tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akila kiapo cha kutumikia taifa kwa miaka mitano ijayo

samia sworn in

Makamu wa Kwanza wa Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akila kiapo kutumikia taifa kwa miaka mitano ijayo, huku Mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Makamu wa Rais mstaafu aliyemaliza awamu yake Mheshimiwa Mohammed Gharib Bilal wakishuhudia tukio hilo la kihistoria

mufti

Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir bin Ali, akimpongeza Rais mpya

askofu

Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki jimbo kuu la Dar es Salaam, Mheshimiwa Polycarp Kardinali Pengo, akimpongeza rais mpya

Mungu ibariki Tanzania, Viongozi na Watu wake. Amin.