Dkt. Ali Mohamed Shein Aapishwa Kuitumikia Zanzibar Katika Awamu Ya Saba

image

Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein akiapishwa kuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Jaji Mkuu wa Zanzibar, Mhe. Omar Othman Makungu katika uwanja wa Amaan mjini Unguja.

Rais Dkt. Ali Mohamed Shein, pichani juu, akionekana akila kiapo cha kuitumikia Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa miaka mitano ijayo, kwa matarajio ya dira ya maendeleo kwa wananchi wa Zanzibar sambamba na dira ya taifa ya mwaka 2025. [Picha na Ikulu.]

image

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais mstaafu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Amani Abeid Karume katika uwanja wa Amaan Kisiwani Zanzibar.

Mungu ibariki Tanzania, Viongozi wake na Watu wake. Amin.

Transiting Amsterdam International Airport

image

This is the second time I use the prayer room (Meditation Room) facilities at Amsterdam International Airport, before proceeding to my destination. But this time I have noticed few changes and even the location of the prayer room has changed. One of the two staff who were sitting in the next door of the prayer room, kindly welcomed me with a big smile on his face and told me that this room here is just temporary because they are doing big improvement in the other prayer room. In general the facilities even the new water sinks in the new toilet is now more compatible and more convenient with ablution, and they look great! And as they say in Dutch, “Geweldig!”.