Monthly Archives: February 2019
MHESHIMIWA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI ATUMA RAMBIRAMBI ZA KUFARIKI KWA MKURUGENZI WA CLOUDS MEDIA, BWANA RUGE MUTAHABA
MHESHIMIWA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI ATOA MKONO WA POLE KWA FAMILIA YA MHESHIMIWA KHAMIS KIGWANGALLA KWA KUFIWA NA MTOTO WAO
NDEGE YA AIR TANZANIA YAANZA SAFARI ZA KIMATAIFA, MHESHIMIWA ISACK KAMWELWE ASEMA HATUA YA AIR TANZANIA KWENDA HATUA KWA HATUA NI SOMO LA MHESHIMIWA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI KUFANYA KAZI NA UTAFITI ILI SHIRIKA LISISHINDWE KULE LILIPOSHINDWA MWANZO
MHESHIMIWA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI AKUTANA NA AFISA MWENDESHAJI MKUU WA KAMPUNI YA BARRICK GOLD CORPORATION (KWA AFRIKA NA MASHARIKI YA KATI), IKULU, JIJINI DAR ES SALAAM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Kampuni ya Barrick Gold Corporation ( kwa Afrika na Mashariki ya Kati) Bw. Willem Jacobs alipokutana naye kwa mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam leo Februari 20, 2019.
: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabudi na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Profesa Florens Luoga wakiwa katika mazungumzo na Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Kampuni ya Barrick Gold Corporation ( kwa Afrika na Mashariki ya Kati) Bw. Willem Jacobs na ujumbe wake walipokutana Ikulu jijini Dar es salaam leo Februari 20, 2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Kampuni ya Barrick Gold Corporation ( kwa Afrika na Mashariki ya Kati) Bw. Willem Jacobs baada ya kukutana na kufanya naye mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam leo Februari 20, 2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabudi na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Profesa Florens Luoga katika picha ya pamoja na Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Kampuni ya Barrick Gold Corporation ( kwa Afrika na Mashariki ya Kati) Bw. Willem Jacobs na ujumbe wake baada ya kukutana na kufanya mazungumzo Ikulu jijini Dar es salaam leo Februari 20, 2019. PICHA NA IKULU
MHESHIMIWA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI ATEUA MKURUGENZI MKUU WA PSSSF, ATEUA MWENYEKITI WA BODI YA WAKURUGENZI YA TIB, ATEUA NAIBU MKURUGENZI MKUU WA TANTRADE
Kutoka Ikulu
MHESHIMIWA MEDARD KALEMANI AKABIDHI RASMI MRADI WA UMEME WA MTO RUFIJI KATIKA KULETA MAENDELEO YA TAIFA YA NCHI YA VIWANDA
MAKAMU WA RAIS MHESHIMIWA MAMA SAMIA SULUHU NA VIONGOZI MBALIMBALI WAZUNGUMZA NA WASANII KWENYE KONGAMANO LA WASANII TANZANIA KUHUSU ATHARI ZA MATUMIZI NA BIASHARA YA DAWA ZA KULEVYA
MHESHIMIWA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI ASHIRIKI IBADA YA MISA TAKATIFU YA DOMINIKA YA 5 YA MWAKA C KANISA LA MTAKATIFU PETRO, JIJINI DAR ES SALAAM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Paroko wa Parokia ya Oysterbay Padri Dkt. Alister Makubi baada ya kushiriki Ibada ya Misa Takatifu ya Dominika ya 5 ya Mwaka C katika Kanisa la Mtakatifu Petro jijini Dar es salaam leo February 10, 2019. Katikati ni mmoja wa viongozi wa kanisa hilo Dkt. Adelhelm James Meru
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akishiriki na waumini wengine katika Ibada ya Misa Takatifu ya Dominika ya 5 ya Mwaka C katika Kanisa la Mtakatifu Petro jijini Dar es salaam leo February 10, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mkono wa amani na masista na waumini wakati wa Ibada ya Misa Takatifu ya Dominika ya 5 ya Mwaka C katika Kanisa la Mtakatifu Petro jijini Dar es salaam leo February 10, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Mkate wa Sakramenti Takatifu toka kwa Paroko wa Parokia ya Oysterbay Padri Dkt. Alister Makubi wakati wa Ibada ya Misa Takatifu ya Dominika ya 5 ya Mwaka C katika Kanisa la Mtakatifu Petro jijini Dar es salaam leo February 10, 2019