Monthly Archives: February 2020
MHESHIMIWA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI ARIDHISHWA NA UJENZI WA MSIKITI MKUBWA JIJINI DAR ES SALAAM, AELEZEA JINSI ALIVYOPENDEKEZA UDHAMINI WA KUJENGWA MSIKITI KUTOKA KWA MFALME WA MOROCCO
MHESHIMIWA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI AUTEMBELEA MSIKITI MPYA JIJINI DAR ES SALAAM ULIOJENGWA KWA UDHAMINI WA MFALME WA MOROCCO, APOKELEWA NA MUFTI ABUBAKAR ZUBEIR NA SHEIKH ALHAD MUSSA
MWENYEKITI WA CCM TAIFA NA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHESHIMIWA JOHN POMBE MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU, KAMATI YAWAPOKEA WANACHAMA WAPYA WA CCM LUMUMBA JIJINI DAR ES SALAAM
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichofanyika Ofisi Ndogo ya chama hicho tawala mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam leo tarehe 28 Februari 2020
Viongozi waandamizi watano kutoka vyama vya upinzani wakitambulishwa na kupokelewa rasmi kuwa wana CCM mbele ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na wajumbe wa Kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichofanyika Ofisi Ndogo ya chama hicho tawala mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Vincent Mashinji, aliyekuwa Meya wa jiji la Arusha kupitia CHADEMA Bw. Kalisti Lazaro, aliyekuwa Meya wa Jiji la Mbeya kupitia tiketi ya CHADEMA Mchungaji David Mwashilindi, aliyekuwa Mbunge wa Tandahimba kupitia CUF, Bw. Katani Ahmed Katani na aliyekuwa Naibu Meya wa Jiji la Mbeya kupitia tiketi ya CHADEMA Bw. Fanuel Kyanula
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Rais wa Jamhiri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM wakitambulishwa na kuwakaribisha rasmi viongozi waandamizi kutoka vyama vya upinzani walioamua kujiunga na CCM wakati wa Kikao cha Kamati Kuu ya chama hicho tawala katika Ofisi zake Ndogo mtaa wa Lumumba jijini Dar es salaam leo Februari 28, 2020. Kutoka kushoto ni aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Vincent Mashinji, aliyekuwa Meya wa jiji la Arusha kupitia CHADEMA Bw. Kalisti Lazaro, aliyekuwa Meya wa Jiji la Mbeya kupitia tiketi ya CHADEMA Mchungaji David Mwashilindi, aliyekuwa Mbunge wa Tandahimba kupitia CUF, Bw. Katani Ahmed Katani na aliyekuwa Naibu Meya wa Jiji la Mbeya kupitia tiketi ya CHADEMA Bw. Fanuel Kyanula
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mikono na aliyekuwa Meya wa Jiji la Mbeya kupitia tiketi ya CHADEMA Mchungaji David Mwashilindi, anayefuatiwa na aliyekuwa Naibu Meya wa jiji la Mbeya Bw. Fanuel Kyanula pamoja na aliyekuwa Meya wa jiji la Arusha kupitia CHADEMA Bw. Kalisti Lazaro baada ya kutambulishwa na kupokelewa rasmi kuwa wa wanachama wa CCM mbele ya Kikao cha Kamati Kuu ya CCM klichofanyika Ofisi Ndogo ya chama hicho tawala mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mikono na aliyekuwa Naibu Meya wa Jiji la Mbeya kupitia tiketi ya CHADEMA Bw. Fanuel Kyanula anayefuatiwa na aliyekuwa Meya wa jiji la Arusha kupitia CHADEMA Bw. Kalisti Lazaro baada ya kutambulishwa na kupokelewa rasmi kuwa wanachama wa CCM mbele ya Kikao cha Kamati Kuu ya CCM klichofanyika Ofisi Ndogo ya chama hicho tawala mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Rais wa Jamhiri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mikono na aliyekuwa Meya wa jiji la Arusha kupitia CHADEMA Bw. Kalisti Lazaro baada ya kutambulishwa na kupokelewa rasmi kuwa wanachama wa CCM mbele ya Kikao cha Kamati Kuu ya CCM klichofanyika Ofisi Ndogo ya chama hicho tawala mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam
MHESHIMIWA HUMPHREY POLEPOLE AZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI KUHUSU MAAMUZI YA KAMATI KUU YA CCM JUU YA MZEE MAKAMBA, KINANA NA MEMBE
MHESHIMIWA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI ASHIRIKI IBADA YA JUMATANO YA MAJIVU JIJINI DAR ES SALAAM
MHESHIMIWA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI AKUTANA NA PROFESA PLO LUMUMBA; NA BWANA GÜNTER NOOKE MUWAKILISHI MAALUM WA AFRIKA WA WAZIRI MKUU WA UJERUMANI BI ANGELA MERKEL IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Msomi na Mwanamajumui (Pan-Africanist) kutoka Kenya Profesa Patrick Loch Otieno Lumumba (Maarufu zaidi kama Profesa PLO Lumumba) alipokutana na kufanya naye mazungumzo Ikulu jijini Dar es Salaam leo Jumatatu, 24 Februari 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Profesa PLO Lumumba, Ikulu jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Madini, Profesa Simon Msanjila
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpatia zawadi ya kinyago cha Umoja, Profesa PLO Lumumba alipokutana na kufanya naye mazungumzo Ikulu jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mikono na Bw. Günter Nooke, Muwakilishi Maalum wa Afrika wa Waziri Mkuu wa Ujerumani Bi. Angela Merkel alipokutana na kufanya mazungumzo naye Ikulu jijini Dar es Salaam leo Jumatatu, 24 Februari 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Bw. Günter Nooke, Muwakilishi Maalum wa Afrika wa Waziri Mkuu wa Ujerumani Bi. Angela Merkel, alipokutana na kufanya mazungumzo naye Ikulu jijini Dar es Salaam leo Jumatatu, 24 Februari 2020
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimpatia zawadi ya kinyago cha Umoja, Bw. Günter Nooke, Muwakilishi Maalum wa Afrika wa Waziri Mkuu wa Ujerumani Bi. Angela Merkel.
MHESHIMIWA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI ASHIRIKI KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA MADAKTARI KITAIFA MWAKA 2020 JIJINI DAR ES SALAAM
MHESHIMIWA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam, 18 Februari 2020. Picha na Ikulu
MHESHIMIWA RAIS JOHN POMBE MAGUFULI AZINDUA KIPINDI CHA PILI CHA AWAMU YA TATU YA MPANGO WA TASAF, AWAPONGEZA NA KUWASHUKURU MARAIS WASTAAFU KWA KUPAMBANA NA UMASKINI KWA NJIA MBALIMBALI KATIKA AWAMU ZAO, AELEZEA MAFANIKIO MBALIMBALI YA TASAF YALIYOPATIKANA TANZANIA BARA NA VISIWANI, AELEZEA JINSI SERIKALI YA AWAMU YA TANO INAVYOPANGA MIKAKATI MBALIMBALI YA KUPUNGUZA UMASKINI NA HUDUMA ZA JAMII IKIWEMO ELIMU NA AFYA